Tuesday, October 1, 2013

SIKILIZA BRAND NEW AUDIO:MAKAMUA FT LINDA MISSION IMPOSSIBLE

KANYE WEST AJITAMBA KUWA MSANII BORA DUNIANI

Msanii Kanye West ajitamba na kuweka wazi kuwa yeye ndiye msanii namba moja duniani wa miondoko ya ‘Rock’, hayo aliyasema katika moja ya mahojiano yake aliyoyafanya kwenye kituo kimoja cha redio cha Uingereza.
Rapa huyo aliweka wazi kuwa yeye ni miongoni wa wanamapinduzi katia muziki huo huku akisisitiza kuwa asingekuwepo yeye kama Michael Jackson asingekuwepo.
Alienda mbali zaidi baada ya kuweka wazi kuwa ndani ya miaka 10 ameweza kupiga hatua kubwa kama mbunifu na mtu maarufu, pia aliweza kumsifia rafiki yake wa karibu Jay Z, kwa hatua aliyofikia na kudai kuwa yupo juu zaidi yake.

SIKILIZA BRAND NEW AUDIO: C PWAA CHEREKO CHEREKO

UMEISIKIA REMIX YA JOTO HASIRA YA LADY JAYDEE? BASI IDOWNLOAD HAPA KAWASHIRIKISHA SONGA, MKOLONI NA NIKI MBISHI


NAS JUNIOR