WAKUSH we refer music as our drug of choice we all music mental and we do several kind of music but hip hop is the core
Wednesday, October 2, 2013
Tuesday, October 1, 2013
KANYE WEST AJITAMBA KUWA MSANII BORA DUNIANI
Msanii Kanye West ajitamba na kuweka wazi kuwa yeye ndiye msanii
namba moja duniani wa miondoko ya ‘Rock’, hayo aliyasema katika moja ya
mahojiano yake aliyoyafanya kwenye kituo kimoja cha redio cha Uingereza.
Rapa huyo aliweka wazi kuwa yeye ni miongoni wa wanamapinduzi katia muziki huo huku akisisitiza kuwa asingekuwepo yeye kama Michael Jackson asingekuwepo.
Alienda mbali zaidi baada ya kuweka wazi kuwa ndani ya miaka 10 ameweza kupiga hatua kubwa kama mbunifu na mtu maarufu, pia aliweza kumsifia rafiki yake wa karibu Jay Z, kwa hatua aliyofikia na kudai kuwa yupo juu zaidi yake.
Rapa huyo aliweka wazi kuwa yeye ni miongoni wa wanamapinduzi katia muziki huo huku akisisitiza kuwa asingekuwepo yeye kama Michael Jackson asingekuwepo.
Alienda mbali zaidi baada ya kuweka wazi kuwa ndani ya miaka 10 ameweza kupiga hatua kubwa kama mbunifu na mtu maarufu, pia aliweza kumsifia rafiki yake wa karibu Jay Z, kwa hatua aliyofikia na kudai kuwa yupo juu zaidi yake.
Subscribe to:
Posts (Atom)





